| Mkurugenzi wa mtandao wa jinsia (TGNP) Bi.Usu Malya akimkaribisha mgeni rasmi kufungua rasmi tamasha hilo katika viwanja vya TGNP Mabibo, Dar es Salaam . |
| Baadhi ya washiriki kutoka shirika la kivulini (kutoka kushota) ni Afisa utawala Bi Martina Mashaka, Daktari Sheba na Mkurugenzi wa shirika hilo Bi Maimuna Kanyamala. |
| Amina Kisero (wa pili kulia) akiwa na zawadi ya kikoi baada ya kufunika kwenye workshop ya wanawake viongozi katika tamasha hilo. |
| Mwanaharakati Masesa Bandoma kutoka Kivulini akizungumza kwa hisia kali katika tamasha hilo |
| Mwanaharakati wa kabila la Kimasai kutoka Loliondo akizungumzia mgogoro wa Ardhi baina yao na mwekezaji. |
| Wanaharakati wa Tunaweza nao walitumia fursa hiyo kusajili wana mabadiliko |
| Edzen wa Kiss FM (Katikati) akiwa na ma-redio presenterz wenzake wakiwakilisha Tunaweza Kampeni. |
| Banda la watoto wafanyakazi wa nyumbani (Kivulini) lilikuwa kivutio kwa watu mbalimbali wakiwemo watoto wa shule |
| Wasanii wa Ngoma na sarakasi wa Mjomba band wakionyesha manjonjo katika tamasha hilo. |
| Mrisho Mpoto (Mjomba) naye hakuwa nyuma |
| Kundi la wasanii wasioona nao walikuwa kivutio katika uimbaji wa mashahiri. |
| Wapenzi wa jinsia moja (MASHOGA) nao walikuwepo |
| Mashoga wakifuatilia kwa makini mada zilizokuwa zikitolewa katika tamasha kabla ya kuibuka na madai ya kutambuliwa katika katiba mpya. |